Habari
Haya ndio majina 28 ya Maafisa wa JWTZ waliopandishwa vyeo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewapandisha vyeo maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika vyeo mbalimbali.
Haya ni majina ya Maafisa wote waliopandishwa leo na Rais Magufuli;