Habari
Hii barabara iitwe Kapuya road, ibaki kuwa historia, najua alikoitoa – Dkt Magufuli mgombea Urais CCM (+Video)
“Na mimi nawaambia na ninarudia bila Kapuya hii lami isingekuwepo mnaweza kumlaumu kwa mengine, nataka hii barabara iitwe Kapuya Road” – Ndg. Magufuli – Mgombea Urais wa CCM.