Habari

Hii ndio orodha mpya ya watu 20 matajiri zaidi duniani 2019, bara la Afrika lakosa mwakilishi

Hii ndio orodha mpya ya watu 20 matajiri zaidi duniani 2019, bara la Afrika lakosa mwakilishi

Kila mwaka inatoka orodha ya watu matajiri zaidi duniani na haswa likitegemewa jarida la Forbes kutoa orodha hiyo kwani ndio jarida linaloaminika zaidi duniania.

Katika orodha hizo kila bara huwa na matajiri wake na pia hujumuishwa kote duniani kuona mtu tajiri zaidi duniani anatoka bara gani.

Katika bara la Afrika mfanyibiashara tajiri zaidi anatoka nchini Nigeria ambaye ni  Aliko Dangote ameorodheshwa kwa mara ya tisa mfululizo, kuwa mtu tajiri barani Afrika.

Dangote mwenye umri wa miaka 62 ambaye anafanya biashara ya Simiti, Sukari na unga wa ngano ana utajiri wa dola Bilioni 10.1. Licha ya Dangote ukija katika ukanda wa Afrika mashariki Mohamed Dewji kutoka Tanzania ametajwa kuwa miongoni mwa mabilioni 20 wa Afrika katika ripoti ya jarida la Forbes la mwaka 2020.

Dangote anafuatiwa na mfanyabiashara wa Misri Nassef Sawaris ambaye aliongeza utajiri wake kutoka dola bilioni 6.3 hadi dola bilioni nane.

Mfanyabiashara huyo anamiliki asilimia 5.7 katika kmapuni ya viatu ya Adidas . Ongezeko la hisa za Adidas liliomuongezea dola bilioni moja nukta tano katika akaunti yake.

Orodha ya mbilionea 20 na utajiri wao barani Afrika:

  1. Aliko Dangote $10.1 B
  2. Nassef Sawiris $8 B
  3. Mike Adenuga $7.7 B
  4. Nicky Oppenheimer $7.7 B
  5. Johann Rupert $6.5 B
  6. Issad Rebrab $4.4 B
  7. Mohamed Mansour $3.3 B
  8. Abdulsamad Rabiu $3.1 B
  9. Naguib Sawiris $3 B
  10. Patrice Motsepe $2.6 B
  11. Koos Bekker $2.5 B
  12. Yasseen Mansour $2.3 B
  13. Isabel dos Santos $2.2 B
  14. Youssef Mansour $1.9 B
  15. Aziz Akhannouch $1.7 B
  16. Mohammed Dewji $1.6 B
  17. Othman Benjelloun $1.4 B
  18. Michiel Le Roux $1.3 B
  19. Strive Masiyiwa $1.1 B
  20. Folorunsho Alakija $1 B

Mbali na matajiri hao kutoka Afrika hebu tuangazie matajiri wakubwa duniani kote.

Hii ni orodha ya watu tajiri zaidi ulimwenguni kulingana na tathmini halisi ya mali kwa kulingana na jarida la  Forbes.

Orodha hii ni ndogo kwa watu 20 wa juu, na jumla ya thamani ya dola bilioni trilioni 1.

Mtu tajiri zaidi ulimwenguni kwa sasa ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Amazon, Jeff Bezos mwenye jumla ya zaidi ya dola bilioni 113.

Hii ni orodha ya watu tajiri zaidi ulimwenguni kulingana na tathmini halisi ya mali kulingana na mtandao wa Forbes.

Orodha hii ni mdogo kwa watu 20 wa juu tu, na wakiwa na jumla ya thamani ya dola bilioni trilioni 1.

Mtu tajiri zaidi ulimwenguni kwa sasa ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Amazon, Jeff Bezos kutoka Marekani mwenye jumla ya utajiri wa zaidi ya dola bilioni 113.

Huku Mwanamke tajiri zaidi ulimwenguni ni wa L’Oréal Françoise Bettencourt Meyers kutoka nchini Ufaransa aliye na thamani ya zaidi ya dola bilioni 55.7

Orodha ya watu 20 matajiri zaidi duniani.

Rank Name Country Net worth (USD) Age Main source of wealth Ref(s)
1 Jeff Bezos  USA $113.0 billion Increase 55 Amazon
2 Bill Gates  USA $107.1 billion Increase 64 Microsoft
3 Bernard Arnault  FRA $106.6 billion Increase 70 LVMH
4 Warren Buffett  USA $86.9 billion Increase 89 Berkshire Hathaway
5 Mark Zuckerberg  USA $74.9 billion Increase 35 Facebook
6 Larry Ellison  USA $69.2 billion Increase 75 Oracle
7 Amancio Ortega  ESP $69.1 billion Decrease 83 Zara
8 Larry Page  USA $61.2 billion Increase 46 Google
9 Carlos Slim  MEX $60.4 billion Decrease 79 America Movil
10 Mukesh Ambani  IND $60 billion Decrease 62 Reliance Limited
11 Sergey Brin  USA $57.5 billion Decrease 46 Google
12 Françoise Bettencourt Meyers  FRA $55.7 billion Decrease 66 L’Oréal
13 Steve Ballmer  USA $55.6 billion Increase 63 Microsoft
14 Michael Bloomberg  USA $54.6 billion Increase 76 Bloomberg
15 Jim Walton  USA $53.1 billion Decrease 71 Walmart
16 Alice Walton  USA $52.8 billion Decrease 70 Walmart
17 S. Robson Walton  USA $52.8 billion Decrease 75 Walmart
18 Charles Koch  USA $42.9 billion Decrease 84 Koch Industries
19 Julia Koch  USA $42.9 billion Decrease 57 Koch Industries
20 Jack Ma  CHN $41.4 billion Increase 55 Alibaba Group
As of 28 November 2019

Chanzo Forbes.

By Ally Juma.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents