MichezoUncategorized

Hii ndio ratiba ya mechi za EPL wikiendi hii

Baada ya ligi mbali mbali duniani kupumzika kwa takribani wiki kwa kupisha mechi za timu za taifa, wikiendi hii ligi hizo zinarudi tena kwa kurudisha furaha kwa mashabiki wake wakiwemo wanaofuatilia ligi maarufu duniani ya Uingereza.

Hapa chini ni ratiba ya mechi za ligi hiyo wikiendi hii.

Jumamosi

Crystal Palace vs Liverpool
Brighton vs Leicester City
Manchester United vs Swansea
Newcastle United vs Huddersfield Town
Watford vs Bournemouth
West Bromwich Albion vs Burnley
West Ham United vs Southampton
Everton vs Manchester City

Jumapili

Arsenal vs Stoke City
Chelsea vs Tottenham Hotspur

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents