Hii ni orodha ya wachezaji 10 wanaolipwa fedha nyingi kwenye EPL
Hii ni orodha ya nyota wanaolipwa mishahara mikubwa kwenye ligi kuu, ya Uingereza.
Wayne Rooney analipwa pauni 260,000 kwa wiki
Wastani wa mshahara kwa kila mchezaji wa katika ligi hiyo ni pauni 44,000 kwa wiki ambazo ni sawa na pauni milioni 2.29 kwa mwaka lakini vilabu vikubwa hulipa zaidi ya hivyo.
Sergio Aguero huchukua pauni 240,000 Manchester City
Yaya Toure hupeleka nyumbani pauni 240,000 Man City
Eden Hazard analipwa 220,000 kwa wiki Chelsea
David Silva analipwa pauni 200,000 kwa wiki Man City
Hii ndo orodha ya wachezaji 10 wanaolipwa fedha nyingi katika ligi hiyo.
1. Wayne Rooney (Man Utd) £260,000-a-week
Five-year deal signed in 2014
2. Sergio Aguero (Man City) £240k
Five-year deal signed in 2014
3.Yaya Toure (Man City) £240k
Four-year deal signed in 2013
4. Eden Hazard (Chelsea) £220k
Five-year deal signed in 2015
5. David Silva (Man City) £200k
Five-year deal signed in 2014
6. Mesut Ozil (Arsenal) £190k
Five-year deal signed in 2013
7. Raheem Sterling (Man City) £180k
Five-year deal signed in 2015
8. Cesc Fabregas (Chelsea) £170k
Five-year deal signed in 2014
9.Kevin De Bruyne (Man City) £170k
Six-year deal signed in 2015
10. John Terry (Chelsea) £160k
One-year deal signed in 2015