Michezo

Hiki hapa kikosi cha Yanga SC dhidi ya Township Rollesr, Ajib, Chirwa, Kamusoko ndani

Mwakilishi wa michuano ya klabu bingwa barani Afrika klabu ya Yanga imetangaza kikosi chake kitakacho ikabili timu ya Township Rillers FC ya Botswana hii leo.

Yanga SC itashuka uwanjani kuwakabili wenyeji wao Township katika michuano hiyo ya kombe la klabu bingwa barani Afrika huku ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza katika mchezo uliyopita kwa jumla ya mabao 2 – 1.

Kikosi cha Yanga SC kinachoshuka dimbani leo dhidi ya Township Rollers FC ya Botswana 1. Youthe Rostand 2. Juma Abdul 3. Gadiel Michael 4. Vicent Andrew 5. Kelvin Yondani 6. Said Juma 7. Yussuf Mhilu 8. Papy Kabamba 9. Obrey Chirwa 10. Pius Buswita 11. Kamusoko Kamusoko.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents