Hitma ya 5 star yafanyika
(Zena Mohamedi ni miongoni mwa wasanii waliopona kwenye ajali ya Five star, akiwa kama mwimbaji wa Bendi hiyo)
Hitma ya Five Star yafanyika katika ukumbi wa PTA, pale Sabasba. Hakika iliudhuliwa na watu wengi kwaajiri ya kuonyesha ushikamano kati yao.
Kiongozi wa Bendi ya Five star, akijadiliana kitu na mwenzke.