Habari

Hivi ndivyo mastaa wa Bongo walivyolizwa na msiba wa mtoto wa Muna ‘Patrick’

Kufuatia msiba wa mtoto wa mjasiriamali maarufu mitandaoni nchini Tanzania, MUNA Mastaa wa Bongo Movie na wale wa Bongo Fleva wameguswa na kifo hicho na kutoa salamu za rambi rambi huku wengine wakielezea hisia zao kwa mtoto huyo.

Mtoto wa Muna, ajulikanaye kwa jina la Patrick amefariki jana usiku jijini Nairobi nchini Kenya alikokuwa amelazwa tangu wiki iliyopita kwa maradhi ya kusumbuliwa na mguu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents