Habari
Hivi ndivyo mastaa wa Bongo walivyolizwa na shambulizi la kigaidi nchini Kenya, mpaka sasa watu 6 wamefariki dunia
Kufuatia kutokea kwa shambulizi la kigaidi nchini Kenya, Mastaa kibao wa Tanzania wakiwemo waigizaji na wasanii wa filamu wametuma salamu za rambi rambi kwa Wakenya.
Mpaka sasa magaidi 6 wameripotiwa kufariki dunia kufuatia tukio hilo la kigaidi, hii ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na jeshi la polisi la nchi hiyo.