Habari

Hivi Punde: Ndege ya Egyptian Air yatoweka angani

Ndege ya shirika la Egytian Air yenye namba 804 iliyokuwa ikitoka Paris kuelekea Cairo imepotea kwenye radar ikiwa na watu 66.

image

Ndege hiyo ilikuwa juu umbali wa futi 37,000 ilipopotea muda mfupi baada ya kuingia kwenye anga la Misri.

Jeshi la Misri limeanza msako na shughuli za uokozi kwenye eneo hilo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents