Burudani
Hizi ndio sababu za wasanii wa Bongo Fleva na Ma-producer wa Bongo ku-copy beats za muziki wa Nigeria (+Video)
Muaandaji na msanii wa muziki nchini Tanzania, Akili The Brain akiongea na Bongo5, amefunguka sababu zinazofanya wasanii wengi hapa Tanzania na Ma-producer kutumia zaidi vionjo vya muziki wa Nigeria kuliko midundo ya Bongo Fleva kama ilivyokuwa zamani.