BurudaniVideos

Hizi ni nyimbo 3 za Bongo Flava ambazo Victoria Kimani anazikubali

Victoria Kimani si mgeni katika midani za muziki wa Bongo Flava.

Amewahi kuwashirikisha Diamond na Ommy Dimpoz kwenye wimbo wake Prokoto. Lakini pia anafahamika kwa ukaribu wake na Vanessa Mdee. Na pia kwakuwa Tanzania na Kenya zipo karibu mno kimuziki, mrembo huyo husikiliza nyimbo kibao za Bongo Flava.

Hata hivyo, Victoria amezitaja nyimbo 3 anazozikubali zaidi kuwa ni:

AJE – ALIKBA

AY F/ DIAMOND – ZIGO REMIX

NAVY KENZO – KAMATI

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents