Habari

Hong Kong ndio mji aghali zaidi duniani, waupiku mji wa Luanda

Mji wa Hong Kong umekuwa mji aghali zaidi duniani baada ya kuupiku mji wa Luanda, Angola. Hii ni kulingana na wafanyakazi wa kimataifa katika utafiti wa kila mwaka unaofanywa na shirika la Mercer.

160622085108_cn_hongkong_skyline_640x360_bbcchinese_nocredit
Hong Kong

luanda
Mji wa Luanda una utajiri mkubwa wa mafuta

Luanda uliokuwa unaongoza orodha hiyo kwa miaka mitatu mfululizo kwa sababu za gharama za kodi, bidhaa za kigeni na usalama wa utajiri wa mafuta lakini kwa sasa umeshuka kufuatia kudhoofika kwa sarafu yake.

160408135759__zurich_havens_digihub_thinkstock_640x360_thinkstock
Zurich

160608150825_singapore_internet_512x288_getty_nocredit
Singapore

Mji wa Zurich ni wa tatu Singapore ni ya nne. Hizo ni nafasi katika orodha hiyo ambazo hazijabadilika kwa mwaka mmoja sasa. Mji wa Tokyo sasa umepanda hadi nafasi ya tano.

Miji 5 aghali mwaka 2016

1. Hong Kong
2. Luanda,Angola
3. Zurich, Switzerland
4. Singapore
5. Tokyo, Japan

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents