Burudani

Hongera Mr. Blue kwa kufunga ndoa!

Tunampongeza supastaa wa Bongo Flava Mr Blue kwa kufunga ndoa na baby mama wake Waheeda, ambaye amezaa naye watoto wawili. Blue amefunga ndoa leo April 14 2016 kimya kimya na inasemekana kwamba waliohudhuria ni ndugu na marafiki wachache wa karibu.

blundoa8

blundoa7

blundoa6

blundoa5

blundoa4

blundoa3

blundoa2

blundoa1

Tunawatakia ndoa yenye furaha na amani!

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents