Burudani

Huddah Monroe amkingia kifua mtoto wa Mugabe

Kuna nini kati ya mtoto wa aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zimbabwe, Chatunga Bellarmine Mugabe na Huddah Monroe.

Mrembo huyo wa Kenya ameandika ujumbe kupitia mtandao wa Snapchat, kumkingia kifua mtoto huyo ambaye anaonekana kuchukiwa na watu wengi kutokana na kauli yake aliyowahi kuitoa hivi karibuni kabla ya Rais Mugabe kutangaza kujiuzulu.

Huu ni ujumbe wa Huddah ambao ameandika kwenye mtandao huo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents