Michezo
Hugo Lloris wa Tottenham atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki 4
Golikipa wa klabu ya Tottenham Hotspurs wametangaza kuwa kipa wao Hugo Lloris atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa takribani wiki 4 kufuatia maumivu ya nyama za paja aliyopata jumamosi iliyopita katika mechi dhidi ya Everton.