Habari
Humphrey Polepole asikitishwa na Skizzy kuvamia, atoa kauli hii
Tumepokea taarifa za kuvamiwa studio ya S2KIZZY ambako wasanii waliokuwa wakijiandaa kurekodi, wamepigwa na kufanyiwa vitendo vya unyanyasaji. Haikubaliki! Tumesema na Jeshi la Polisi
https://www.youtube.com/watch?v=GMKagsCcj5o