Michezo
Huu ndio mkwara wa mashabiki wa Simba “Al ahly atakufa nyingi leo” (+ Video)
Ikiwa leo ndio siku ambayo mitanange mkubwa wa ligi ya mabingwa barani Afrika itafanyika katika mataifa tofauti barani Afrika, macho na masikio ya wengi yakonchini Misri ambako matanage kati ya Simba ya Tanzania watakipiga na Al ahly kutoka Misri.
Ikumbukwe Simba wanaenda Misri tayari wakiwa nafasi ya tatu kweny kundi lao D na huu ndio ulikuwa mkwara wa mmoja ya mashabiki wa Simba kuelekea kwenye mtanange huo ambaye pia ni muandaaji wa nyimbo alimaarufu Producer:
By Ally Juma