Burudani

Huu ndio wimbo wa kwanza kutoka studio ya Rayvanny ‘Surprise Music’

Je unaufahamu wimbo wa kwanza ambao utaanza kutoka chini ya studio mpya ya Rayvanny, Surprise Music?

Basi fahamu kuwa ngoma iitwayo ‘Ngarenaro’ ya Dogo Janja unaotarajiwa kutoka rasmi Jumatano hii ndio utakuwa wa kwanza kutoka chini ya studio hiyo ambapo Rash Don ndio mtayarishaji wake.

Hata hivyo tayari kuna wasanii wengine wakubwa wanadaiwa tayari wameshafanya ngoma katika studio hiyo akiwemo Madee, Maromboso na wengine.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents