Muziki
Huyu ndio Mtanzania anayefanya vizuri Uingereza, tazama video aliyoshirikishwa na Imani Williams
Huyu ndio Mtanzania anayefanya vizuri Uingereza, tazama video aliyoshirikishwa na Imani Williams
Huyu ndio Mtanzani anayefanya kazi zake za muziki nchini Uingereza akijulikana kwa jina la Tiggs da Author, Tiggs akitamba na ngoma zake kama Run,Georgia,Swear down,work it out, na nyinginezo nyingi.
Tazama video ya ngoma hii aliyoshirikishwa na mwanadada Imani Williams kutoka nchini Uingereza
By Ally Juma.
gm