Michezo

Huyu ndiye mfalme wa assist, sio tena Mesut Ozil

Kiungo wa kimataifa wa Ujerumani ambaye anachezea klabu ya Arsenal ya Uingereza Mesut Ozil alikuwa anatajwa kama ndiye assist King, ikiwa na maana yeye ndio mtaalam wa assist au mkali wa kutoa pasi za mwisho za goli, lakini February 4 mtandao wa sokkaa.com unaripoti kuwa amezidiwa na kuwa nafasi ya pili sawa na Neymar wa klabu ya FC Barcelona nafasi ya kwanza ikiwa imeshikwa na mchezaji Henrikh Mkhitaryan wa Borussia Dortmund.

Ozil-injured1

Henrikh Mkhitaryan ambaye ni mchezaji wa Borussia Dortmund na timu ya taifa ya Armenia saivi ndio unaweza muita assist king kwa bara la Ulaya, ana jumla ya assist 17 na goli 17, hizo ni assist za jumla ya mashindano yote aliyocheza hadi sasa msimu huu.

01.09.2013 Fussball Bundesliga Eintracht Frankfurt - BVB 09 Borussia Dortmund Spieltag 4 Bedankt sich bei den Fans - der zweifache Torschuetze beim 1-2 Sieg in Frankfurt Henrikh Mkhitaryan (BVB Borussia Dortmund - 10) Freisteller Portrait

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents