Technology

Idadi ya simu za iPhone zilizouzwa duniani zimefika bilioni moja

Mwenyekiti Mtendaji wa Apple, Tim Cook amedai kuwa hivi karibuni kampuni yake iliuza iPhone ya bilioni moja.

Apple Unveils iPhone 6

Kwenye mkutano na wafanyakazi huko Cupertino nchini Marekani, Cook alisema kuwa hatua hiyo muhimu imefikiwa siku moja tu baada ya kuvuka matarajio ya wachambuzi.

MacWorld, Steve Jobs
CEO wa zamani wa Apple, Steve Jobs akionesha iPhone ya kwanza Jan. 9, 2007

Simu ya kwanza ya iPhone iliuzwa Marekani June 29, 2007. Mwanzilishi wa Apple, Steve Jobs aliionesha iPhone mbele ya umma January 9, 2007.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents