Iggy Azalea aamua kujiondoa kwenye mitandao ya kijamii kufuatia beef za Twitter
Rapper wa kike mwenye asili ya Australia, Iggy Azalea ametangaza kujipumzisha nje ya mitandao ya kijamii kufuatia beef na maoni hasi kuhusu yeye ambayo amekuwa akipokea kila mara mtandaoni hasa kupitia Twitter.
“But I also want to let my fans know iam taking some time away from social media. I need to be happy and it is too negative and draining.” Alitweet.
Kufuatia uamuzi huo Iggy amesema kuwa uongozi wake ndio utasimamia akaunti zake za mitandao ya kijamii kuanzia sasa kwaajili ya kutoa maendeleo ya kazi zake.
“My management will tweet/run my accounts from today onwards…Peace out!”
Katika tweet nyingi alizoandika kuelezea sababu za kujiondoa kwenye mitandao ya kijamii, Iggy amesema kuwa chuki anazoziona mtandaoni dhidi yake zinamfanya awe mtu mwenye hasira huku hapendi kuwa hivyo.
“I feel the hatred and pettiness I see online at all times is making me become an angry person and I cannot be that.”
Miongoni mwa mastaa ambao amekuwa na beef nao kupitia mitandao ya kijamii ni pamoja na
Azealia Banks, Jill Scott, Eve na Snoop Dogg.
Just got back from a great vacation, came online and saw apparently it's shocking and unheard of to be a woman and have cellulite. Lol.
— IGGY AZALEA (@IGGYAZALEA) February 19, 2015
I just want to have peace and relaxation time without a perve with long distance lense hiding out taking pictures, everyone deserves peace.
— IGGY AZALEA (@IGGYAZALEA) February 19, 2015
I feel the hatred and pettiness i see online at all times is at making me become an angry person and I cannot be that.
— IGGY AZALEA (@IGGYAZALEA) February 19, 2015
To become nasty because of the way I feel iam treated would be a disservice to my fans and I promise i will try to keep smiling.
— IGGY AZALEA (@IGGYAZALEA) February 19, 2015
But I also want to let my fans know iam taking some time away from social media. I need to be happy and it is too negative and draining.
— IGGY AZALEA (@IGGYAZALEA) February 19, 2015
My management will tweet/run my accounts from today onwards with updates etc unless any message is signed -IA. Love you all. Peace out!
— IGGY AZALEA (@IGGYAZALEA) February 19, 2015
The Internet is the ugliest reflection of man kind there is.
— IGGY AZALEA (@IGGYAZALEA) February 19, 2015