Habari
IGP Sirro afunguka kuhusu taarifa za Kamanda Mambosasa kuhamishwa Dar Es Salaam
Baada ya taarifa kusambaa mtandaoni kuwa Kamanda wa Kanda maalum ya Dar Es Salaam, Lazaro Mambosasa amehamishwa kituo cha kazi, hatimaye Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Simon Sirro amekanusha taarifa hizo kuwa sio za kweli.