Habari
IGP Sirro – Ajali za barabarani zimepungua kwa asilimia 34 (Video)
“Kwa upande wa maadili mwaka 2020 bado hatujakaa vizuri, kwa upande wa maadili tumeona bado tuna changamoto kwa maana tathimini iliyopo bado kuna baadhi ya watendaji wetu wachache bado wanakuwa na lugha mbaya kwa maana ile Customer care iko chini’ IGP Sirro.
https://youtu.be/rUHbOJdgHKU
https://www.instagram.com/p/CJoAyjBBjWF/