Michezo

Infantino amkabidhi jezi Trump, wakati rais wa taifa hilo kubwa duniani akionyesha kadi nyekundu

Rais wa Shirikisho la soka duniani (FIFA),  Gianni Infantino amekutana na kufanya mazungumzo na Donald Trump kuhusiana na maandalizi ya michuano ya kombe la dunia mwaka 2026 ambayo taifa la Marekani likiwa mwenyeji kwa kushirikiana na Canada pamoja na Mexico.

Donald Trump (right) enjoyed brandishing the red card alongside Gianni Infantino (left)

Infantino alimkabidhi rais wa taifa hilo la Marekani, Trump jezi yenye jina zenye jina lake na kumkabidhi kadi mbili nyekundu na njano.

Trump ameonekana kufurahishwa mno na kikao hicho alichofanya na rais wa FIFA huku Infantino akimtania kwa kumuambie atafute rangi ya kadi itakayotumika zaidi kwenye michuano hiyo.

Trump was also presented with a personalised shirt with his name on the back of it 

Rais wa FIFA anaamini kuwa michuano hiyo itakuwa ya kihistoria huku Trump akisema kuwa mwaka 2026 ambao michuano hiyo itafanyika hatukuwa rais kwakuwa kipindi chake kitakuwa kimeshamalizika.

Trump promised that the 2026 World Cup will be the 'greatest' although he won't be in office

Trump amemuita Infantino ambaye amechukua madaraka baada ya skendo za rushwa za rais Seth Blatter kuwa ni mtu mwenye heshima kubwa sana huku akizungumzia mchezo huo utakavyoitwa.

Infantino showed Donald Trump the yellow card in the Oval Office on his visit 

”Soka ni mchezo, nadhani mnauita mpira lakini kuanzia hapa huwenda baadhi ya mambo yakabadilika majina ila sina uhakika,” amesema Trump.

”Lakini tusubiri tuone, itafanya kazi vizuri. Ila nahitaji kukushukuru, Gianni Infantino kwa uwepo wako hapa wewe ni rais wa FIFA na mtu mwenye heshima kubwa mno.”

US football president Carlos Cordeiro also presented Trump with his on USA shirt

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents