Inspekta na FA collabo
Katika hali ya kushangaza wale wakali wawili na wakongwe kabisa
katika game ya Hip Hop nchini, ambao kuna kipindi mmoja wao alijibu nyimbo ya mwenzake na
kuleta mkanganyiko ambao wengine tulihisi kama biff ya kiaina…wanategemewa kufanya track ya pamoja!!
Wakongwe hao Mwana FA na Inspector Haroun..hata hivyo wameamua kufanya
siri kubwa ya jina la ngoma hiyo ambayo tayari imeshaandikwa na kuna
taarifa za kuaminika itagongwa ndani ya studio za ukweli B-Hitz
chini ya producer Hermy B.