Bongo Movie
Irene Uwoya apewa baraka na baba mkwe (Video)
Msanii wa filamu nchini Tanzania, Irene Uwoya yupo nchini Burundi ambapo amepata fursa ya kutembelea kaburi la aliyekuwa mume wake, Hamad Ndikumana.
Muigizaji huyo pia amekutana na wazazi wa marehemu Ndikumana na kupewa baraka za wazazi hao.
Irene alibahatika kupata mtoto mmoja na Ndikumana.