Burudani
Is Rihanna Sexy or just too much?!
Katika ripoti zilizosambaa mtandaoni, wadau wengi wa muziki wanahoji kana kwamba Rihanna kapitilizia kwa utupu.
Rihanna amepata shutuma kali za kuzidisha utupu katika music video zake pamoja na mavazi na hata picha anazopigwa katika magazines, kana kwamba hazifai jamii hasa kwa wale mafans wake wenye umri mdogo.
Kuna hatua imefika Rihanna kutokubaliwa kuonyesha muziki wake au kufanya shows katika nchi kama China kwa kile kinachosadikika kwamba ni ‘Too much’
Mdau unaonaje hapo? is she Too much?