Burudani

Iyanya athibitisha kufungasha virago Mavini Records

Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Iyanya amethibitisha kutokuwa tena chini ya lebo ya Mavin Records inayosimamiwa na Don Jazzy.

Akiongea na kituo cha radio cha Beat FM, msanii huyo ameeleza kuwa kwa sasa hayupo tena katika lebo hiyo na hakuna mgogoro uliopo kati yake na Don Jazzy.

“I’m now signed to Temple Music but I’m a Mavin for life. It was not a beef. I was there and it was time to move on,” ameeleza Iyanya.

Kwa sasa msanii huyo anatamba na ngoma yake mpya iitwayo Good vibe aliyowashirikisha Team Salut kutokea Uingereza.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents