Mahojiano

Izzo Bizness atoa ushauri kwa wasanii wapenda kiki, ataja wasanii 6 wanaofanya vizuri Tanzania (+Video)

Rapper wa Bongo Fleva na Mtangazaji wa kituo cha Clouds Plus @izzo_bizness_mbeya ameongea kuhusu ukimya wake kwenye muziki na kusema kuwa huenda kwa sababu hategemei kiki ndio mana watu wanaona kama yupo kimya.

@izzo_bizness_mbeya pia ameongelea suala la kiki lonavyohatibu muziki wa Bongo Fleva na kutengeneza kizazi kibaya kijacho.

Mbali na hilo @izzo_bizness_mbeya pia amewataja wasanii 6 ambao yeye anawakubali mpaka hivi sasa na wanaofanya vizuri.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents