Habari

Jagged Edge na Blackstreet kutua Bongo

Jagged Edge na Blackstreet kutua Bongo
Inasemekana kuwa wakali wa R&B Jagged Edge na Blackstreet watatua ndani ya Bongo mwanzoni wa mwezi wa saba

Inasemekana kuwa Zizzou Entertainment imedhamini onesho ya wakali hao, na siku hiyo wasanii kama Mr. Blue, Ngwair na wengine waliyo chini ya Zizzou wataangusha show ya nguvu kabisa.

Wadau kaeni mkao wa kula!

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents