Habari

Jarida la vibonzo la Gumzo lazinduliwa Dar (Video)

Kampuni ya Tibasima imezindua jarida lake jipya la vibonzo @gumzoeastafrica ambalo litakuwa linapatikana mitandaoni.

Akiongea na waandishi wa habari Mkurugenzi wa Gumzo, Marco amesema amelileta jarida hilo jipya baada ya kuona kuna mahitaji ya jarida la vibonzo baada ya magazeti kama Sani na mengine ambayo yalikuwa yanafanya hivyo kupotea sokoni.

Marco ambaye alifanya kazi Sani kwa miaka mingi, amesema ujio wa jarida hilo utakata kiu kwa mashabiki ambao walikuwa wanayapenda.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents