Michezo
Je Emanuel Okwi amemalizana na Simba SC ? (Picha)
Klabu ya soka ya Simba inaonekana kufikia pazuri katika kukamilisha uhamisho wa usajili wa mchezaji wao wa zamani, Emmanuel Okwi.
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Simba, Zacharia Hanspope (kushoto) akiwa na mshambuliaji Emmanuel Okwi
Katika kuonyesha mazungumzo yamekwenda salama Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Simba, Zacharia Hanspope ameonekana akiwa sambamba na mshambuliaji huyo.
BY HAMZA FUMO