Burudani
Jennifer Lopez kuwakutanisha Cardi B na Dj Khaled
Jennifer Lopez anampango wa kurudi kwa kishindo kwenye game.
Mrembo huyo kupitia mtanao wa Instagram, ameonyehsa kuwa mbioni kuachia ngoma yake mpya ambayo amemshirikisha rapper Cardi B na Dj Khaled.
Kupitia mtandao huo JLo ameandika, “Tell @iamcardib and @djkhaled Khaled I’m on my way… gonna get this #DINERO 💵.”
Ngoma ya mwisho ya msanii huyo kuachia ilikuwa ni ‘ Ain’t Your Mama’ ambayo ilitoka mwezi Mei mwaka 2016.