Burudani

Jennifer Lopez kuwakutanisha Cardi B na Dj Khaled

Jennifer Lopez anampango wa kurudi kwa kishindo kwenye game.

Mrembo huyo kupitia mtanao wa Instagram, ameonyehsa kuwa mbioni kuachia ngoma yake mpya ambayo amemshirikisha rapper Cardi B na Dj Khaled.

Kupitia mtandao huo JLo ameandika, “Tell @iamcardib and @djkhaled Khaled I’m on my way… gonna get this #DINERO 💵.”

Ngoma ya mwisho ya msanii huyo kuachia ilikuwa ni ‘ Ain’t Your Mama’ ambayo ilitoka mwezi Mei mwaka 2016.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents