Michezo
Jeshi la Kujenga Taifa lampa tuzo Alphonce Simbu (Video)
Mshindi wa Medali ya Shaba katika mbio za dunia za London, Alphonce Felix Simbu pamoja na wenzake wamepongezwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kuiwakilisha nchi vyema katika michuano ya riadha ya dunia ya London nchini Uingereza.
Alphonce Simbu akipokea tuzo kutoka kwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja jenerali, Michael Isamuhyo kama pongezi kwa ushindi wake.
Alphonce Simbu apokewa kifalme uwanja wa ndege wa JK Nyerere (Picha)
Simbu alianikiwa kushika nafasi ya tatu katika mashindano hayo na kupata Medali ya shaba
By Hamza Fumo