Habari
Jeshi la Magereza latoa taarifa kuachiwa kwa Lulu
Jeshi la Magereza nchini Tanzania, linautaarifa umma kuwa aliyekuwa anakitumikia kifungo cha miaka miwili katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam kwa kosa la kuua bila kukusudia ametolewa kutoka gerezani kwenda kifungo cha nje.
Soma taarifa kamili;