Michezo

Jo-Wilfried ayaaga mashindano ya Aegon ya Uingereza

Mcheza tenisi raia wa Ufaransa Jo-Wilfried Tsonga ametupwa nje ya michuano ya Aegon na Gilles Muller katika michuano inayoendelea nchini Uingereza.

Mcheza tenisi raia wa Ufaransa Jo-Wilfried Tsonga

Katika seti ya kwanza Muller alishinda kwa 6-4 na seti ya pili akishinda kwa 6-4 na hivyo kufanikiwa kumtoa kwa jumla ya seti mbili katika mzunguko wa pili wa michuano hiyo.

Licha mchezaji huyo mkubwa katika medani ya mchezo wa Tenisi kutolewa katika michuano hiyo mikubwa , wengine waliotolewa mapema ni pamoja na Andy Murray, Stan Wawrinka na Milos Raonic.

BY HAMZA FUMO

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents