Burudani
Joh Makini, Shettah, Ycee waipa nguvu remix ya Wabe ya P-Unit
Kundi la P-Unit la nchini Kenya linatarajia kuachia remix ya wimbo wake Wabe.
Kwenye remix hiyo wamewashirikisha Joh Makini, Shettah, rapper wa Nigeria Ycee na Kristoff.
Hata hivyo P-Unit hawajema remix hiyo itaachiwa lini.