BurudaniUncategorized

Jokate amtaja mchezaji anayemkubali kati ya Ronaldo na Messi

Licha ya Jokate Mwegelo kuwa karibu na mitindo na kujikita zaidi kwenye siasa na biashara, lakini pia mrembo huyo ni mfatiliaji wa karibu wa mchezo wa soka.

Jojo ameshawahi mara kadhaa kuthibitisha kuwa ni shabiki wa Arsenal, lakini hakuwahi kumtaja ni mchezaji gani ambaye anamkubali zaidi kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo. Unafikiria anamkubali nani kati ya hao?

Basi mrembo huyo kupitia mtandao wa Instagram, ameweka picha hiyo hapa chini na ameonyesha kuwa anamkubali zaidi Ronaldo tena amedai mchezaji huyo anakipaji zaidi kuliko Messi.

“Ukichana na kuwa Arsenal dam dam pia niko hapa CR7 kipaji kuliko Messi. 🙈🙌🏽,” ameandika Jokate.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents