Burudani
Jokate na mrembo wa Kenya Sarah Hassan waja na show mpya ya TV ‘Mashariki Max
Jokate Mwegelo ameungana na mrembo wa Kenya, Sarah Hassan kwenye kipindi kipya cha TV kiitwacho Mashariki Max.
Sarah Hassan na Jokate Mwegelo
Kipindi hicho kitakuwa kikioneshwa kupitia channel ya ST Swahili ya Star Times.
Kipindi hicho kilichozinduliwa wiki hii kitakuwa kikijihusisha na mitindo ya watu maarufu Afrika Mashariki.