Michezo
Jordan Ayew ajiunga na klabu ya Swansea
Mchezaji Jordan Ayew ambaye ni raia wa Ghana ameondoka Aston Villa na kujiunga na klabu ya Swansea kwa mkataba wa miaka mitatu na nusu.
Ayew ambaye anamika 25, amejiunga na Swansea akitokea Aston Villa.
Kaka yake Andre Ayew aliwahi kukipiga Swansea na walijadiliana kabla ya yeye kujiunga nayo.