Michezo
Jovetic ajiunga na klabu hii ya Hispania kwa mkopo
Mshambuliaji wa klabu ya Inter Milan ya Italia Stevan Jovetic amekamilisha uhamisho wa mkopo wa kujiunga na klabu ya Sevilla ya Hispania.
Jovetic ambaye ana umri wa miaka 27, amekuwa hapati nafasi katika kikosi cha kwanza cha Inter Milan, amekabidhiwa jezi namba 16 ya Sevilla ameungana na mchezaji mwenzake wa zamani wa Manchester City, Samir Nasri.