Siasa

JPM: Maendeleo hayateremki kama mvua, hata Corona tumeiondoa kwa kusali mkileta wasiotekeleza ilani mjue twafa (+Video)

“Maendeleo hayateremki kama mvua, hata Corona tumeiondoa kwa kusali, angalieni nchi zingine kila siku wamejifunga midomoni, hata mke wako unaweza ukamsahau, unaweza usimjue kama ni mwanamke au mwanaume kwa sababu hawakumtangulliza Mungu”

 

“Mkileta watu ambao hawatatekeleza ilani ya uchaguzi mjue twafa, badala ya kupeleka kwenye visima vya maji watapeleka kwenye kulipana posho, na mimi sitawadhibiti kwa sababu siyo wangu, walio wangu ninawajua”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents