Siasa
JPM: “Nawashukuru Wenyeviti wa Mikoa, mmepata lawama wengi walitaka kudhamini karatasi zikapungua naomba radhi (+Video)
“Nawashukuru sana Wenyeviti wa Mikoa yote mliamua ninyi wenyewe kwamba hizo fomu za wadhamini niwaletee ili mimi nisihangaike kuzunguka kila mahali, mmepata lawama watu wengi walitaka kudhamini lakini karatasi zikawa zimepungua ninaomba radhi sana”
https://www.youtube.com/watch?v=Ge5QDFziDIo