Siasa
JPM: Tunapochagua mtu hatuchagui sura, mimi sura yangu mbaya kweli lakini tunachotaka ni maendeleo yanayo-focus watu”
Tunapochagua mtu hatuchagui sura, mimi sura yangu mbaya kweli lakini tunachotaka ni maendeleo yanayo-focus watu””Uongozi ni kutoa sadaka, nimeamua kutoa maisha yangu ya uongozi kama sadaka kwa Watanzania, hii kazi ndugu zangu ni ngumu lakini ninaweza kuifanya tena kwa miaka mitano”