Habari
JPM: Tusingezungusha ukuta Tanzanite za Mmasai tusingezipata si ajabu huyo Mmasai angeuawa (+Video)
“Hii nchi inaweza ikawa ya kutoa msaada kwa watu wengine, nani alijua kama Mmasai angetoa Tanzanite ya zaidi ya kg 9, Mmasai anajua kuchunga Ng’ombe na kukamua, tusingekuwa tumezungusha ukuta hizo tusingezipata na si ajabu huyo Mmasai angeuawa”