Burudani
Juma Lokole avaa nguo kama aliyovaa Alikiba na kuzua gumzo “Ameiga kwangu” (Video)
Juma Lokole wiki hii alibambwa na kamera ya Bongo5 TV akiwa amevaa ‘shati’ ambalo linafanana na lile alilovaa Alikiba akiwa kwenye jukwaa la Fiesta na kuzua gumzo mitandaoni kutokana na namna lilivyo.