Burudani

Juma Lokole kumbe alikuwa shabiki wa Alikiba akahamia kwa Diamond “Napenda sana uandishi wake” (Video)

Mmoja kati ya mashabiki wa Diamond, Juma Lokole ambaye pia ni mtangazaji wa Wasafi Fm, amefunguka jinsi anavyomkubali muimbaji Alikiba ambaye siku ya leo ameachia wimbo mpya na kukubalika na mashabiki wengi ndani ya muda mfupi akiwa na Hamisa Mobetto.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents