Michezo
Juventus yamsajili mshambuliaji kutoka Croatia, Mario Mandzukic
Juventus imemsajili mshambuliaji kutoka Croatia, Mario Mandzukic kwa gharama ya pound milioni 13.6 kutoka Atletico Madrid.
Mshambuliaji huyo alijiunga na Atletico mwaka jana akitokea Bayern Munich na kupachika mabao 20 katika mechi 43 alizocheza. Amesaini mkataba wa miaka minne.
.@MarioMandzukic9 joins Juventus, penning a four-year deal with the club: http://t.co/YRXr4UKs0p #WelcomeMandzukic pic.twitter.com/7VMpEjuF0x
— JuventusFC (@juventusfcen) June 22, 2015